Siungi mkono raisi kutoka Zenji na hii sio ubinafsi bali
ni aina ya muungano na katiba tuliyonayo. Unashangaza kufananisha muungano wetu na wa USA! ataamua nn juu ya mambo ya Tanganyika? itakuwa sawa na raia wa kigeni kuja kutawala nchi yetu na ninaamini hatutaweza kurisk nchi yetu kiac hicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.