Recent content by MICHAEL MPANJI

  1. M

    DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

    When the dark clouds are gathering and the winds are howling...you know there's a storm a coming! Yes, yes! I can hear it against my window
  2. M

    KISUTU, DAR: Wakurugenzi wa Zantel na Halotel wapandishwa kizimbani kwa uhujumu uchumi

    Read the charges correctly, the licenses are not the issue!
  3. M

    KKKT wajibu Barua ya Serikali: Waomba kuongezewa siku 30 ili mkutano wa Maaskofu ufanyike na utoe majibu

    Reading between the lines naona KKKT wamebadili tu mikono kutoka wa kulia kwenda wa kushoto lakini bado wameshikilia pale pale! Wisdom on both parts ndio utamaliza hili jambo kwa amani. God bless Tanzania!
  4. M

    Tuelimishane: Sakata la Mafuta ya kula (TRA vs. TBS) - Hiki ndicho kinachobishaniwa

    Ukweli unapatikana soon! Magufuli yupo bandarini anakagua ishu ya mafuta.....
  5. M

    Asasi mbalimbali za kiraia Duniani zamwandikia barua Magufuli kuhusu hali mbaya ya haki za binadamu Tanzania

    Mwl Nyerere aliwahi kusimulia juu ya kuzuiwa kucheza ngoma za kwao ( ya kwamba ni aibu kwa Rais!) lakini baadae jioni akaombwa kufungua dansi! WaTz too much talking, Magufuli is not about to dance to their tune! Ifike mahala nao wacheze ngoma zetu, wakishindwa basi watikise japo kidole...
  6. M

    WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

    Rais piga kazi! Wote walio invest cdm watajulikana tu
  7. M

    WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

    Kama siku ya mwisho mtaulizwa ni roho ngapi mliwezesha kuona bunge live au mlifungua magazeti mangapi hakika nami naungana nanyi! Bwana utusamehe waja wako, ni mengi tunakukosea lakini umwingi wa rehema na msamaha.
  8. M

    Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

    Kwa kweli nimekuwa highly disturbed na hali ya afya ya akili zako kwa maana ya psychological state of your mind. Umefikaje huko na nini kusudio lako katika hii post? You need help brother!
  9. M

    Kutoka Checkpoint, Pugu: Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Ilala 2015 kupitia CHADEMA, Muslim Hassanali ajiunga na CCM

    Hapo kwa Lowassa na Mnyika napatilia shaka.......Mdee nae kumya kimezidi.....
  10. M

    Nairobi, Kenya: Tundu Lissu aituhumu Serikali ya Tanzania kwa jaribio la kutaka kumuua na Bunge kutomhudumia Matibabu

    Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia suala la Tundu Lisu kupigwa risasi na siasa za Tanzania kwa ujumla wake. Najaribu kufikiria kwa mtu kama Rais Magufuli anaweza kunufaika vipi kwa kuuawa Lissu? Kwa maana nyingine je, Lissu kama Lissu anaweza kumtoa Magufuli katika azma yake kiasi cha...
  11. M

    Majanga: Tanzania yaburuzwa Mahakama ya Usuluhishi kwa kuvunja Mkataba wa Mradi uliokuwa ufanyike Bagamoyo

    mikataba itashughulikiwa na cha kulipwa kitalipwa. kumbuka zinazolipwa sio hela za watu, zinatumika hela zetu sote! So any unconscionable term in the contracts lazima zishughulikiwe! Kwa hiyo ungelikuwa na akili kuliko kuhamaki kwamba hela zilipwe tu, pima kwanza nani anaumia na kwa faida gani...
  12. M

    Majanga: Tanzania yaburuzwa Mahakama ya Usuluhishi kwa kuvunja Mkataba wa Mradi uliokuwa ufanyike Bagamoyo

    Watanzania msiwe wanyonge kiasi cha kubeza jitihada zinazofanyika. Kuwa wazungu doesn't mean daima wako sahihi, wala wao kuwa multi national company isitutishe! Tumeliwa vya kutosha, tumedharauliwa vya kutosha. Mikataba ile ya kijinga sio tu imetunyonya bali imetudhalilisha as a Nation. We...
  13. M

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Naona kama vile matukio yanaenda kama yameandaliwa vile...kama sinema! Ukitulia na kuchunguza utaona kama watu tuliandaliwa kisaikolojia kutupia lawama pande flani vile....kiasi kwamba tumefungwa macho na akili kuona na kufikiria bali kwenda moja kwa moja kuhitimisha kwamba "anhaa! Itakuwa...
Back
Top Bottom