Recent content by Michael Douglas Nchimbi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kuhusu Kilimo cha Katani au Mkonge Tanzania

    Ni kweli kabisa ndugu kila zao unaweza kuuza njw ya nchi yetu na ukaliingizia Taifa fedha za kigeni .Ila kusudi kubwa la walaka huu ni kuonyesha jinsi gani tunaweza kujiongeza hasa ukizingatia aina ya zao na faida zake Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kuhusu Kilimo cha Katani au Mkonge Tanzania

    Zao hili kama nilivyotangulia kusema ni zao la kibiashara na linauhataji mkubwa nje ya nchi yetu maana nyuzi zake zinatumika kwa kutengezea bidhaa nyingi zinazohitajika na wanadamu. Ziko nchi nyingi zinazohitaji malighafu hiyo hasa China na nyingine zenye viwanda vingi vikubwa. Unawezajiuliza...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kuhusu Kilimo cha Katani au Mkonge Tanzania

    Ndugu nadhani sasa inabidi tubadilike na tujaribu kuangalia mazao mengine ya kibiashara Kimataifa. Na hapo nazungumzia mazao ndani ya mashauriano ya kilimo huku ndani ni kama hayajulikani na kama hayatuhusu lakini ni kilimo vizuri kibiashara kimataifa. Natoa ushauri Serikali yetu tukufu...
Back
Top Bottom