Recent content by Michael Andrew Jr

  1. Michael Andrew Jr

    Afrika: Nchi 10 zenye barabara nzuri Tanzania haimo, Hayati Magufuli alikuwa anafanya nini?

    Hata sishangai kwa nyuzi za namna hii, watu wanatumwa na wanatumika. Lakini kumbukeni toilet paper inatumika mara moja tu ukishamaliza kuichambia hutupwa tena kwa kinyaa... Nchi hii imekua na marais toka miaka ya 60, iweje asemwe rais aliyakaa only 5 years? Sent from my SM-G955U using...
  2. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ahaa hivi kumbe lengo la Urusi ni kuiteka kiev? Naomba ushahidi nani alisema hivyo, samahani lakini mkuu. Natambua uwezo wako wa hali ya juu kwenye military analysis Nb: go Zelensky go, slava Ukraine slava Ukraine Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  3. Michael Andrew Jr

    Kyiv yapigwa Kibiriti, ofisi kuu za shirika la kijasusi la Ukraine zashambuliwa

    Utakuta hyo ajira unayousema unalipwa mshahara laki 4. Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  4. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Alafu kumbe wana akili, wanajua fika west hutumia democracy kunyonya nchi nyingine. Aisee !! Mie nilijua ni empty kuchwani, hawajui walisemalo kumbe wanajua. Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  5. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mkuu shusha zile nondo zako za ubovu wa silaha za Russia na ubovu wa mbinu zao kivita. Ujue mkuu wewe una utaalamu na uzoefu wa juu kwenye mambo ya kivita na mbinu za kivita. Pia tunaomba maoni yako, ni nini Nato watafanya mara baada ya Ukraine kupigwa na mabomu usiku kucha, tena hadi ubalozi...
  6. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Maeneo aliyoyachukua sasa vita vinapiganwa frontiline, jeshi kwa jeshj, bomu kwa bomu... lakini ukraine atapoanza kufanya 'ugaidi' wa kuacha vita na kwenda kulipua miundombinu au watu wasiokua kwenye vita ilo litakua kosa. Sasa daraja la cremea unalipiga la nini? Kwani urusi hakuona madaraja...
  7. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mambo ya kudanganyana kama haya ndio yanaiponza Ukraine, utakisika slava Ukraine, slava Ukraine. Au utasikia go Zelensky, go Zelensky. Mwisho wa siku wanajaa vichwa na kupigika kama watoto. Kwa somo la leo, Ukraine hawezi kurudia ule ujinga wa kupiga tena Russia, na akirudia yatakayompata vita...
  8. Michael Andrew Jr

    Kyiv yapigwa Kibiriti, ofisi kuu za shirika la kijasusi la Ukraine zashambuliwa

    Watakuambia ni rocket tu hazina madhara, wao wanakomboa maeneo donbase [emoji1787][emoji23][emoji16][emoji23][emoji1787]. Yaani watu wazima na akili zenu mnaamini nchi kama Ukraine anaweza kumpiga Russia kijeshi? Nyie!!! Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  9. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Putin umeuvunja moyo wangu [emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji2] Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  10. Michael Andrew Jr

    Milipuko kadhaa yasikika katika Mji Mkuu wa Ukraine Kyiv

    Kuvunjwa kwa daraja cremea kunawasaidia Ukraine kivita si ndio? Tunasubiri kuona hivyo vikosi vya ukraine kuwaondoa warusi huko donbase. Hilo likifanyika hakika West watakua ni mabingwa wa dunia hii. Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  11. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji12][emoji1][emoji1][emoji38] braza nakutumia email address ya Putin Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  12. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji12][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kufuatilia??? Aisee jamaa waache uhuni Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  13. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji12][emoji1][emoji1][emoji1] kuua raia wa Russia na kuvuja madaraja ni raha? Pumbuvu zenu mfyyyyy Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  14. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Matako yanawasha? Subiri doz...[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  15. Michael Andrew Jr

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Haha[emoji12][emoji12] yaani na akili zako kuna nchi hapo wa kuipiga urusi? Mbabe anayeweza kutunishiana misuli tena kwa mbali ni USA Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom