Ajira mpya katika kata ya Ualimu mwaka 2026 Mkoa wa Morogoro (Dc) hatujapewa pesa za kujikimu mpka sasa
Na kila tukiuliza wanatupa majibu ya mkato
Msaada katika tafadhari. Kwako Ofisi ya Tamisemi chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu
Walimu katika Halmashauri Ya Morogoro DC.Intake ya mwezi wa 2/2026 hatujapewa pesa za kujikimu mpaka sasa.Tumeandikishwa barua na kila tukifatilia hatupati majibu sahihi ya pesa hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.