Hiki ni kiwanja cha kujenga Hostel za wanafunzi kinauzwa.
UKUBWA
1. UREFU 28
2. UPANA 25
Kiwanja kipo Mwanza maeneo ya kisesa karibu sana na Chuo kikuu cha Mipango na Maendeleo vijijini-MWANZA.
NB: Mawe yapo around hautahtajika kutafuta gari kwa ajili ya kazi hiyo
BEI TSH. 3,300,000/=...
Jaman wana JF nikatika kipambana na maisha yetu haya nataman kuanza biashara yamitumba kutoka Dar kwenda mikoa ya kanda ya ziwa.
Je, Kwa makadrio ya mtaji wa kiasi gani naweza anza nao.?
Je, nilitamani kumtumia mtu awe ananisafirishia mi naupokea mzigo nikiwa mikoan vip hii imekaa je?
Vip...
Maana hata mimi binafsi nimefaid saana hela hizi sema huwa naziheshimu saana. Huwa nina drafts za nini nitakifanya baada ya pesa kuila. Lakin pia kuna principles za kubeti na kunufaika na mchezo huu.
1. Punguza ushabiki na mahaba na timu. Ustake ishinde hata paspowezekana eti kwasabab wew ni...
Juu ya hizo odd chache znapatikanaje tunaweza chekiana tu ujue wote tunapambana bana. Wakiwa watu wanahangaika na forez na wengine wengine huko na ss tunatumia mb zetu kutuingizia mipesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiliza boss
This is betting, the bests source na njia pekee tunayonufaika nayo wachache huku wengine wakizid kutuchangia pesa hizo. Chamsingi sio tim chache unaweza weka tim 1 nausiambulie kitu....
Kitu chochote kjnachotumia pesa kinahitaji umakini. Tafuta odd ya 3.2 ambayo inapatikana kwa...
Ni sahihi yaani kama unajitahid kufikiria na kuwaza kama shule itakutoa basi endelea utakuwa bado saana maana dunia hio imechange sana pamoja na vyeti kuhitajika kama ushajidi wa potentials zako lakin kinachoanza kwanza ni potentialz zako...uwezo wako wakuchange sutuation kweny mazingira ama...
Kwa Pc kama iko vizzuri na kama unakubaliana na Riba unaipata. Mi kuna mtu anakopesha nafahamiana nae ila 50% ndugu per month akikupa 100000 urudishe 150000 baada ya siki 30.sasa akikupa 300000 urudishe 450000
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikirahisi saana. Sema kwa sasa kunachangamoto maana raw materials zkmefingwa kwa sabab ya Korona. Ukweli nikwamba inategemeana na imannyako juu ya michezo ya kinahatisha yaan Sports betting. Ningelkuwa ni mimi hapo mapema saana unalifuaya hilo jiko. Beti kunawatu walioko makin na smart haiishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.