Ufaulu wa mwanafunzi unategemea vitu vingi ikiwemo nyenzo za kusomea mfano vitabu, marudio ya mitihani nk
Walimu bora, mazingira mazuri ya kujisomea nk
Lakini kumekuwa na tatizo kubwa la wanafunzi wengi kushindwa kufanya vizuri katika mitihani yao au hata kijamii nikimaanisha kufeli mitihani...
Nina fremu Magomeni tuchange kodi tuweke tugawe uweke ofis ya kipiga picha mi nifanye biashara nyingine kwakuwa bado hujajipanga biashara ya kufanya huku unaendelea kupiga picha unaangalia mishe nyingine ya kuwekeza hela yako nyingine chukua risk ndogo kwakuwa hujajipanga
Mim ni bint wa miaka 27 natafuta mtu wa kushirikiana nae kulipa fremu ya biashara (mwanamke). Nimesha pata fremu tayar maeneo ya magomen kanisani(Dar) gharama yake laki moja miez 6 kwahiyo anatakiwa kutoa nusu ya gharama. Kwa atakae kuwa intrested ni (pm). Aina ya biashara isiwe chakula au dawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.