Recent content by mhinda

  1. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je! Kuchangia chama ni lazima?

    Una kadi ya chama ,kama una kadi yachama basi unakichangia
  2. M

    JamiiForums Tanzania Viongonzi wa vyama vya upinzani mnafanya kazi nzuri ila kuna sehemu mnakwama kama sio kukosea.

    Wananchi wako tayari ,kumbuka 2010 _2015 wananchi walipata fursa ya maarifa ya uraia kupitia bunge live,mikutano ya kisiasa na vyombo vya habari ,sasa kama njia hizo zmepigwa Pini ,vyama vitajengaje ushawishi na nguvu ya kuaminiwa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ngurumo: 90% waliohudhuria huo mkutano wa Tundu Lissu alipokuwa akikinanga chama chake, walikuwa ni wana CCM waliovaa sare za CHADEMA bila yeye kujua

    Kwani hakuna Wana ccm ambao wanamtaka lisu kiasi Cha kutaka kumsikiliza
  4. M

    JamiiForums Tanzania Innocent Bashungwa amejiwekea rekodi ya kupita na kufanya kazi Wizara nyingi sana.Unafikiri sababu ni nini?

    Kwa hiyo kateuliwa na Mungu/Samia ?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kama mtu chini ya miaka 18 haruhusiwi kupiga kura, basi iwe marufuku watoto wadogo kufundishwa imani za kidini mpaka wafike miaka 21

    Uko sahihi,tunalazimishwa kuwa uislam na ukirsto ndio dini zenye maana kuzidi za kwetu za asili
  6. M

    JamiiForums Tanzania ''Enchweke'': Sauti za waliokufa, inatokeaje mtu anaongea kwa niaba ya mfu?

    Huyo mungu wa kweli anapatikana wapi
Back
Top Bottom