viwanda vingi maana yake wakaz wake weng ni wafanyakaz wa viwandan
na mshahara wa viwandan ni 5000-7000 kwa siku hamna posho wala upigaj na ukikuta mtu analipwa 10k / day kiwandan anaheshimika sana
Tukiachana na wazazi wa kibongo ambao tunajua weng hupenda watoto waajiriwe sababu biashara na fani zingine zina dharaulika kweny jamii
huyo rafik pia ni tatzo huwez kukaa ndan kula na kulala halaf unataka upewe M.10 ndipo uanze biashar hat mim ningekuwa mzazi wake simpi
ni risk kubwa
kutoka...
Tangu uhuru mpaka sasa ni kizazi cha ngap?
wengi wa wapambanaj ni kizazi cha pil tangu uhuru na hakuna cha maana ambacho wamerithi toka kwa wazaz
anae fanikiwa unakuta ndio wa kwanza kuanza kukusany utajir ndan ya familia huk ndug kibao wanamtegemea
huwa najiuliza sana
hivi kusambaa kwa bidhaa nyingi ambazo ni low quality au fake kabisaa shida ni wafanyabiashara kutaka faida kubwa au wanunuzi kupenda vya bei nafuu
naona hata zile simu feki zilizofungiwa miaka kadhaa nyuma zimeanza kurudi kwa kasi
hili la watu kukataa waarabu hata mimi ndio naliona hapa watu wanapinga masharti yaliopo kwenye mkataba
naona mleta maada anania ya kupotosha na kuwatoa kwenye mstari wenye hoja za maana
diet inayokufaa kama kijana chipukizi
ukiamka asubuh tembea km 2 rudi hom oga halaf kunywa chai kavu
ikifika saa 11 jion kula msos wa kawaida kutuliza njaa tu sio mpaka ushibe,
ikifika usiku mtafute dem wako kapige mechi halaf kunywa maji tu ulale
next morning repeat the routine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.