Kuna taarifa zinatembea kwenye mitandao kumhusu aliyekuwa naibu wa speaker kuwa inasemekana kampiga mtu, na aliyepigwa hali yake sio nzuri. Kuna mwenye taarifa zaidi atujuze?
Mimi binafsi niseme hivi, hakika Nape na WanaCCM mlioko madarakani, hebu acheni propaganda namsome ukweli na uhalisia uliopo ulingoni. Hivi Tanzania ienendavyo ninyi inawafurahisha? Ufisadi unavyozidi hivi hata soni huna kuendelea kuvumilia upuuzi na wendawazimu wa serikali hii? wewe Nape...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.