Matumizi ya akili hudhihiri zaidi pale unapojengwa kwa kuwa na uwezo wa kufanya utafiti, utafiti ni akili. Kusema shida ipo bila kubainisha ubayana (kufanya utafiti) "sio akili"
Hoja uliyotoa ni kwamba watanzania hawaajiriki kwa sababu ya wizi na uvivu. Ndio nakahoji nilivyohoji. Je mwalimu aliyehitimu vyuo vya ualimu nao hawajiriki kwa sababu ya wizi na uvivu?
Una data zozote kuonesha watanzabia hawaajiriki kwa sababu ulizotaja?
Sasa kwa nini anasubiri mpaka apate Shahada ya Ualimu?....si aache chuo ajiunge moja kwa moja VETA ama aanze ujasiliamali wa kushona viatu ambao hauhitaji hata kujua kusoma na kuandika? Taifa linapitia changamoto kubwa sana hasa katika eneo la namna vijana waliopo mashuleni na vyuoni wanavyoweza...
Tukubali kukosoana. Chama chenu kirudi katika misingi yake. Kushindwa kurudi katika misingi yake, kunaumuhimu gani wa kuanzishwa kwake?
Kama unakili CCM imechokwa unadhani ni mambo gani yaliyofanya ichokwe ambayo Mh. Lissu ameyasema na hayatendeki ndani ya chama chake?
Rushwa ikemewe na kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.