Recent content by mgweno5

  1. M

    Wanaume tuwe makini na wachungaji

    KWELI NYIE VIPOFU HAYA MAANDIKO WACHUNGAJI HUYAFICHA AU! ISAYA 56: 10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala, hupenda usingizi. 11 Naam, mbwa hao wana choyo sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu...
  2. M

    Uvaaji wa hijab kwa wanafunzi wa sekondari Tanzania

    Mnalalama elimu inashuka wakati watoto zenu wanakuja shule kutuonyesha walimu vichupi, vimakalio, visidiria, vimaziwa! Jamani kama mna akili hijab nzio muokozi
  3. M

    Uvaaji wa hijab kwa wanafunzi wa sekondari Tanzania

    Unayoongea kutokana na mawazo yako,uelewa wako na kiwango cha akili yako uko sahihi. Lakini ufahamu kuwa katika uislam hijabu ni jambo la lazima kwa mwanamke!
Back
Top Bottom