Recent content by MgungaMiba

  1. M

    ‘Wazungu wa Royal Tour’ wapinga Wamasai kuhamishwa

    Ina maana wewe hujui tofauti ya eneo la Ngorongoro Crater na Loliondo? Si ungekaa kimya tu
  2. M

    Kesi ya Mbowe; Umejifunza nini kipya?

    Sasa nimeelewa vizuri kwanini Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Simbachawene alisema "Jeshi la Polisi linaajiri waliofeli shuleni, halitaki waliofaulu vizuri!"
  3. M

    Rais Samia atoa TZS 35BL Ujenzi wa Musoma Airport kumuenzi Baba wa Taifa

    Wa Musoma aliusema sana lakini ule wa Chato akaujenga sana
  4. M

    Kwa uzandiki aliofanya January Makamba kwa Hayati Magufuli hakupaswa kuteuliwa kuwa waziri. Uzandiki dhidi ya Rais ni kosa kubwa sana

    Inavyoelekea unajiropokea tu, hebu tueleze huo uzandiki wake ni upi? Alisema jambo gani baya kwa jpm? Weka hiyo clip hapa tusikie alichokisema kisha utufafanulie huo uzandiki. Au ndo bado mnataka tuongozwe na mtu aliekwisha kufa? (ni kwa mapenzi ya Mungu na sote tuliobaki tutakufa pia)
  5. M

    Rais anayetumia ndege na msafara wa watu 30 na anayesafiri kwa barabara na msafara wa Magari 50, ni yupi anabana Matumizi?

    Mimi nadhani tusiangalie kubana matumizi ya fedha peke yake, bali pia tuangalie anaebana matumizi ya muda pia (ni yupi kati ya anaetumia ndege na anaetumia msafara wa magari barabarani anaeweza kufanya mambo mengi katika maeneo mengi kwa muda mfupi) Kadhalika tuangalie kati yao ni yupi...
  6. M

    Tumekuelewa Rais Samia Suluhu japo umeongea Kimafumbo na Kidiplomasia, ila tumekuelewa na tutayazingatia lakini nawe usiyarudie

    Yeye mwenyewe ni gwiji la siasa za bongo, na pia anezungukwa na magwiji ambao anaweza kuwatumia kufanikisha mawazo yake chanya. Miaka 5 aliyofanya kazi na JPM imeshampa mwanga wa namna ya kufikia malengo, yeyote aliefanya kazi na JPM kwa miaka 5 na akafanikiwa kuteuliwa tena, basi ujue yuko...
  7. M

    Tumekuelewa Rais Samia Suluhu japo umeongea Kimafumbo na Kidiplomasia, ila tumekuelewa na tutayazingatia lakini nawe usiyarudie

    Neno 'Mamie' sio sahihi kulitumia kwa Mama wa Taifa, ni vyema ungetumia neno 'Mama' inakuwa sahihi zaidi kwa hadhi yake.
  8. M

    Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

    Kweli kabisa, kwakuwa wao ni miungu watu, sidhani kama miungu inaombewa!
  9. M

    Tasnia ya habari hamumpendi mkuu wenu wa nchi? Mbona mnatia aibu?

    Mi naona Serikali hii imewekwa na Watu wa Serikali, WEO's, DEDs, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi, Police, TISS nk.
  10. M

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Kunyweni uji
  11. M

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Nina uhakika huo mkono mwingine ameshika remote ya Tv!
Back
Top Bottom