Mambo vp kiongozi. Naomba msaada, nyanya yangu majani yanapata kutu na kukauka,mwisho wa siku mpka mche unaathirika. Naomba nisaidie kujua dawa gani nitumie inisaidie kuzuia hii hali
Wakuu nimepatwa na changamoto ya majani ya nyanya kuungua na kunyauka, nimejaribu kuuliza ni ugonjwa gani wengine wanasema ukungu wengine joto la ardhi. Naombeni wataalamu mnisaidie kujua hiki ni nini na dawa yake
hiyo sehem ya vegetables imeandikwa 1.0 - 1.5 L/Ha use approx 600 - 800 | water/ ha. Nimeshindwa kuelewa kabisa hapo japokua nimeenda kuulizia niliponunua wamenambia nipime mls 35 kwa solo moja
Kiongozi naomba kufaham hii buster WUXAL kwenye nyanya natakiwa kuweka kiasi gani katika solo la lt 20. Mana katika maelezo yake kwenye chupa nimeshindwa kuelewa vizuri
Wakuu nimeufuatlilia huu uzi kwa umakini sana toka mwanzo, nimejifunza mengi sana katika kilimo hiki cha nyanya. Mimi ndo nimeanza mwaka huu kilimo hiki nimeanza na nusu eka kwa majaribio ila pia nimetumia hizi mbegu za kawaida nia yangu ilikua ni kujifunza kwanza kabla ya kuingia rasmi...
Habari za leo wana JF. Mimi ni mgeni humu ndani lakini nimevutiwa sana na hii thread. Kilimomaarifa naomba unicheki kwenye email yangu niweze kujua napataje hizi nondo kutoka kwako. anatoly.r@hotmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.