Recent content by mgosingwa123

  1. M

    TRA mko wapi? Selcom imeshirikiana na Azam Play TV kukwepa kodi (VAT) ya zaidi ya Bilioni 181

    Mleta mada, mbona unamuuliza mfanyabiashara alipe kodi ambayo mteja hajailipa? Tafadhali rudia tena hesabu zako, yaani figure ulizokokotea hio VAT hazina mashiko au UKWELI Kwa hio naomba hiyo math homework uirudie.. Na mods nawashauri muwe na wataalam wa accountancy kwenye moderators wenu...
  2. M

    Prof. Assad (CAG) Yampasa Kujiuzulu au Kujieleza

    Samahani inayotakiwa kuhojiwa ni kamati ya bunge au Zito na Kangi,? Kwa nini kuhoji personalities badala ya kamati, ambayo yakuulizwa swala la msingi wamepitisha vipi hio budget ya CAG ya 70+billions Na swala jengine la msingi, kipi kitaathirika ktk utekelezaji wa kazi za CAG, ikiwa budget Yao...
  3. M

    Prof. Assad (CAG) Yampasa Kujiuzulu au Kujieleza

    Tatizo ninaloliona hapa Mzee mwanakijiji haelewi kazi inayofanywa na CAG, na na kikubwa zaidi cha kusikitisha haelewi auditor ni nini, na wanafanya kazi vipi. Anachoongelea ni nadharia inayotoka kichwani mwake, yaani kama hadithi za kutunga, ambazo hazina msingi wowote, maelezo mengi bila ya...
  4. M

    Jipu ukaguzi wa magari UK

    Mijizi ya kila aina, nina gather evidence kuwatumbua hawa wahuni...
  5. M

    Jipu ukaguzi wa magari UK

    SAY NO TO TBS ON THIS DUBIOUS DEAL
  6. M

    Jipu ukaguzi wa magari UK

    Hii issue ni kama repeat ya kilichotokea hapo awali, kwa kumbu kumbu zangu, Tender hii hapo awali ilipatiwa kampuni ya WTM. Ilifikia step ya kumuandikia rais mstaafu barua ya wazi na kumpa vielelezo vyote vya ubatili na wizi wa uwazi kabisa uliofanywa kipindi hicho. Kuwakumbushua pitieni hizi...
  7. M

    Jipu ukaguzi wa magari UK

    Janga
Back
Top Bottom