Recent content by Mgoma

  1. M

    Serikali kuzuia mijadala ya katiba

    Hii itakuwa ni kubaka upataji wa taarifa muhimu kwa ajili ya manufaa ya nchi na watu wake. Ila kuzuiz upepo kwa ngunia ni kazi bure tuuuu
  2. M

    Video na Picha: Ushahidi kuhusu yaliyotokea kwa Jaji Warioba wakati na baada ya vurugu, Ubungo Plaza

    Hili la Mzee Warioba kweli ni pigo kwa wanaharakati na wazalendo wa nchi hii. Ninadhani ukifikiri unamkuomoa Warioba ni issue unapingana na wakati tu kwani hiyo dhambi itakurubia tu tena sio kwa kipindi kirefu kijacho live long Mhe. Jaji Warioba ili wanaokutakia mabaya waone mafanikio ya misingi...
Back
Top Bottom