Mtoa mada nami nikuulize swali maana naona kama hukutafakari kabla ya kuleta hili pizza, je raia mwenye kosa la jinai anawezaje kufukuzwa nchini kwake? Jibu nikuulize tena
Magufuri alikuwa akikopa kwa siri huku wenye akili tukijua na Ndugai akijua na akimsifu kinafki. Ndugai ikipendeza aonyeshwe documents Magufuri alikopa kiasi gani tena aseme wazi mbele ya umma. Watu walizibwa midomo leo anaongea mjinga sana
Wewe ulitaka Nape awaambie kitu gani watu wake wakati Magufuri ndiyo chanzo cha matatizo haya? Eti CCM! Sio CCM ni Magufuri kwa maamuzi yake ya ujinga. Wacha hao wahindi wafaidike sasa kwa ujinga wa maamuzi mabaya
Hapa ndiyo penye shida ya awamu ya JPM. Hawataki mawazo tofauti ili tusonge mbele kujifanya wao ndiyo wenye uelewa mkubwa kuliko waTz zaidi ya milioni 60, Magufuri alikuwa hataki kupata changamoto toka kwa yoyote ukiongea tofauti naye kifo umekikaribisha na hii si sawa. Mungu ametuumba tofauti...
🤣🤣🤣 ndugu yangu unafikiri hawa wapo humu jukwaani hivi sasa wakati mfadhili yupo motoni. Jingalao sijamuona muda mrefu tangu kayafa aende kuadhibiwa kwa mola wake na magonjwa mtambuka ndo hivyo ana madeni makubwa. Somo kuu; usiishi kwenye dunia hii kwa kumtegemea mwanadam mungu hana rafiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.