Recent content by Mgohamichael

  1. Mgohamichael

    INAUZWA Tunauza Vitu mbalimbali

    Anaye jua dawa nzuri ya nguvu ya kiume anijuze
  2. Mgohamichael

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Natafuta chimbo la vifaa vya ujenzi jumla kabisaa msaada jamn
  3. Mgohamichael

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Jaman nataka kufanya biashara ya hardware mini shop ila chimbo la vitu bei poa sijui kwa kariakoo au popote pale ndani ya dar mfano bomba za ips ,fittings,na machepe nyundo sululu na vingine msaada jamn
  4. Mgohamichael

    Natafuta kazi

    Naitwa mandela mgoha nipo dar ni mwenye fani ya plumbing natafuta kampuni yoyote ya kufanya nayo kazi nina uzoefu wa muda mrefu na nina cheti cha ufundi stadi daraja iii hata serikalini nafanya pia nikipata nafasi kwa mawasiliano 0655556569
  5. Mgohamichael

    SoC02 Dini inapogeuka kichaka cha kujificha kwa watawala wasiotimiza wajibu wao kwa wananchi

    Kwa mwenye kujua mtaalam wa kienyeji yule wa uhakika jamn
Back
Top Bottom