Jaman nataka kufanya biashara ya hardware mini shop ila chimbo la vitu bei poa sijui kwa kariakoo au popote pale ndani ya dar mfano bomba za ips ,fittings,na machepe nyundo sululu na vingine msaada jamn
Naitwa mandela mgoha nipo dar ni mwenye fani ya plumbing natafuta kampuni yoyote ya kufanya nayo kazi nina uzoefu wa muda mrefu na nina cheti cha ufundi stadi daraja iii hata serikalini nafanya pia nikipata nafasi kwa mawasiliano 0655556569
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.