fanya kujiuliza pia
kama ile safari ya miaka 50 iliyopita
yalikuwa maigzo je! Hapa miaka yote hii iliyopita wameshindwa kufanya uigizaji mwingine ulio bora zaid ya ule wa mwanzo?
kwani wakiamua kuigiza huo uwezo wanao bila shaka yoyote,
kama waliweza enzi hizo vp leo wasituigizie ili kupunguza...
Ulaya mbali sana.
sema tanzania ni kubwa kuliko ukreini
kwan tanzania ina mita za mrabalaki tisa
na ukreini wana laki sita
hii ndo vita ya supa pawa
mwezi wa sita sasa bado yupo mpakani
kwa tanzania unaweza kulinganisha na
adui mkenya na vita inapiganwa arusha na moshi,
ukija dodoma,singida...
Yawezekana sababu haikuwa kujiunga NATO pekee
maana ukraine alishasema kuwa mpango wa kujiunga NATO
Ameshaachana nao lakin jamaa bado hawapo tayari kusitisha vita,
nadhani putin lengo lake nikuigawa ukraine,
Urusi ana ukubwa wa km za mraba milion 17
ukraine km za mraba laki sita,
na
tanzania ina km za mraba laki tisa
Kwahiyo hata tanzania ni kubwa kuliko ukraine,
ni kama marekani anaogopa kushutumiwa na urusi
kwamba anaisaidia ukraine hizo ndege vita,
lakin mkuu
mbona hiyohiyo marekani na nchi kibao zinapeleke siraha za kila aina kwa uwazi na kujitangaza pia,
sasa hizo ndege mbona kama wanaziogopa,
ha
likin mkuu,
mbona marekani na nchi kibao2...
kwa mabomu ya nyukria
aliyonayo urusi hakuna nchi inayopenda au itakayopenda kuishambulia urusi
hata kama dunia nzima ikijiunga NATO
alichofanya ni ubabetu
wa kumuonea mnyonge
hata hivyo jesh la urusi limepata aibu kubwa,
haliko vile weng walivokuwa wanahisi.
na wakitoka urusi anawapeleka
belarus au urusi,
kitu ambacho waukraiane
hawataki kwenda kwenye hizo nchi ambazo ndo watesi wao,
hayo magari yangekuwa yanaelekea poland
mambo yangekuwa tofaut.
mkuu, nimekuwa nazifatilia post zako
kwa hakika unajua mambo mengi ya kijeshi kuliko hata baadhi ya wanajesh wenyewe,
lakn kuna swali najiuliza kuhusu hii vita
mbona kama vifaru na magari ya urusi yanahalibiwa kwa wingi sana? Au
Urusi ana kikosi kibovu cha ardhini,
au ant tank javalin zimeosha...
naunga mkono hoja,
kwamba urusi anaweza kuishnda serikali ya ukraine kwa sasa,
lakin raia hawaitaki urusi
atapata shda kubwa kuitawala au labda alijua kuwa raia watamuunga mkono,
vita ina mambo mengi wewe dada,
kwan unazani yeye haujui huo utaratibu,
anajua kuliko wewe
yaweza kuwa ni proganda za kumtisha zaid urusi,
au anamaanisha pia
maana
huo utaratibu wa kuchukua mda mlefu kujiunga umewekwa na hao hao na
ni hao hao wanaweza kuuvunja kwa sababu wanazozijua wao,
kumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.