uko sahihi sana...lakini mtaji wa kufungua course ni mkubwa na mimi kwa kuwa bado sina kipato so nimeshindwa kufanya hivyo.....nimeamua kuanza na biashara yenye mtaji kidogo kutokana na mfuko wangu....pale ntakapokuwa na capital ya kutosha nitafanya hilo.....nina malengo makubwa sana na...
Habari wana jamii forum ...mimi ni binti niliyemaliza chuo mwaka jana na nikahitimu masomo yangu ya stashahada ya computer science....na kupata matokeo mazuri tuu ya first class...
Mpaka sasa sijabahatika kupata kazi na kuitwa kwenye interview.....hivyo basi ningependa kujiajiri mimi mwenyewe...
habari wana jamii forum.....mimi ni binti niliyemaliza chuo mwaka jana....na nikahitimu masomi yangu ya stashahada ya computer science na kupata matokeo mazuri tuu ya first class.....
Mpaka sasa sijabahatika kupata kazi na kuitwa katika interview...hivyo basi ningependa kujiajiri mimi mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.