Recent content by mgenii

  1. M

    Muongozo katika biashara

    uko sahihi sana...lakini mtaji wa kufungua course ni mkubwa na mimi kwa kuwa bado sina kipato so nimeshindwa kufanya hivyo.....nimeamua kuanza na biashara yenye mtaji kidogo kutokana na mfuko wangu....pale ntakapokuwa na capital ya kutosha nitafanya hilo.....nina malengo makubwa sana na...
  2. M

    Muongozo katika biashara

    asante sana .......ubarikiwe.....
  3. M

    Muongozo katika biashara

    nashukuru sana mkuu wapi soko la mitumba linapopatikana???
  4. M

    Muongozo katika biashara

    nafikiria kupanua biashara yangu....nikipata soko zuri .....asante kwa ushauri
  5. M

    Muongozo katika biashara

    napatikana dar-es-salaam....mkuu
  6. M

    Muongozo katika biashara

    asante hujui tu ni jinsi gani umenipa moyo na nguvu ya kuendelea zaidi......shukrani..sana ...mkuu
  7. M

    Muongozo katika biashara

    asante sana......nitafanya hivyo as soon as possible......
  8. M

    Muongozo katika biashara

    napatikana mkoa wa Dar-es-salaam..... bab-D
  9. M

    Muongozo katika biashara

    Habari wana jamii forum ...mimi ni binti niliyemaliza chuo mwaka jana na nikahitimu masomo yangu ya stashahada ya computer science....na kupata matokeo mazuri tuu ya first class... Mpaka sasa sijabahatika kupata kazi na kuitwa kwenye interview.....hivyo basi ningependa kujiajiri mimi mwenyewe...
  10. M

    muongozo katika biashara

    habari wana jamii forum.....mimi ni binti niliyemaliza chuo mwaka jana....na nikahitimu masomi yangu ya stashahada ya computer science na kupata matokeo mazuri tuu ya first class..... Mpaka sasa sijabahatika kupata kazi na kuitwa katika interview...hivyo basi ningependa kujiajiri mimi mwenyewe...
Back
Top Bottom