Tumia hizo dawa zitakusaidia ata wagonjwa wa bawasili zitawapa matibabu, maana bawasili pamoja na sababu nyingine ni matokeo ya vidonda vya tumbo katika utumbo mpana
wakati nasoma hiyo mistari katika Biblia nikaja kugundua Watakatifu kuwaomba sio tatizo kwa kuwa wanafanyakazi kwa karibu na maagizo ya Mungu kuanzia mfalme Nebukadreza walimtokea kwa ndoto lakini Yesu akiwa akiwa katika maombi nao walimtokea na kuzungumza nao na walikuwepo tangu zamani
Daniel...
Dunia ya sasa ni ya teckinolojia kunasoftware nyingi zinazotafsiri Lungha, na ikumbukwe lungha sio UJUZI, Ata mfaransa akija Tanzania ata hitaji IT,Food, Acc na wajuzi wengine. Tuna ndugu wengi wamesoma lungha hizo wapo hawazalishi na hawaajiriki zaidi parttime za ukarimani . Tungeanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.