Recent content by mfugajii

  1. mfugajii

    JamiiForums Tanzania Haki za wanyama: Serikali ipige marufuku wanyama kama ng'ombe kuvuta mikokoteni

    Ahhahahhah!! Basi na wale makuli au wabeba mizigo masokoni wanateseka sana wapigwe marufu kama vipi!!!! Ng’ombe ana kazi kibao hata kulima pia ndio deal zake hizo wala ajawai kuja kwako kukuomba Chakula ila hakigoma kulima jua njaa itakutandika tu mjombaa
  2. mfugajii

    JamiiForums Tanzania GE2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

    Siasa mchezo mchafu!!! Kila nikiwaambia hii kitu mnasema sio kweli! Haya sasa twende kazi pamoja.
Back
Top Bottom