Recent content by mfuasi kz4

  1. M

    Maajabu yatokea alipokuwa akizikwa Nabii Eliya Munuo wa Mbezi Beach

    Nabii Eliya hajawahi kuitwa MUNGU WA MAJESHI kama wengi wamavyosema. iko hivi; mfano: wewe unaitwa abdallah hassan MWINYIMVUA,, unaitwa hivyo kwa sababu wewe ni mwana wa hassan, kutoka ukoo wa mwinyi mvua. sasa, kwa yeyote anayesoma KITABU CHA NENO LA MUNGU/ BIBLIA, atakubaliana nami kuwa...
  2. M

    Maajabu yatokea alipokuwa akizikwa Nabii Eliya Munuo wa Mbezi Beach

    vipi wewe akili yako, unadhani iko sawa? kumbe mkiguswa nyie mnahara eeh. jifunzeni kuheshimu imani za wenzenu hata kama hamzipendi.
  3. M

    Maajabu yatokea alipokuwa akizikwa Nabii Eliya Munuo wa Mbezi Beach

    na ndio maana mi sijakashifu la kwako, nimeliheshimu kwa kuwa ni imani yako, ajabu watu kushikia bango madhehebu ya wenzao, utazani mapapa wao huwa hawafi.
  4. M

    Maajabu yatokea alipokuwa akizikwa Nabii Eliya Munuo wa Mbezi Beach

    una uhakika siloamu wana biblia yao? mstari upi umefutwa? hivi huu uongo mnaopenda kujitungia ni kwa manufaa ya nani? nitajie ni mstari upi umefutwa? pili, kilichobadilishwa na Siloamu ni kava tu, badala ya kuandika biblia, wao wanaandika KITABU CHA NENO LA MUNGU tatizo liko wapi? jifunze...
  5. M

    Ukweli kuhusu Wanyamanyafu/ Wamanyafu na Wanyakyusa

    duuuuuh, si mchezo. historia ya tanzania ni paaana sana,, na ni kazi kubwa kuielewa historia na mikoa yote kwa mapana yake, aksante mtoa mada, umenisaidia kujua mengi leo
  6. M

    Ushuhuda wa mabinti

    na wasioamini katika DINI ya kikristo waende wapi?
  7. M

    Siloam Ministry International Mbezi Beach

    unapochangia/ kuongea jambo, hakikisha una ufahamu wa kutosha kuhusiana na jambo hilo. la usichangie utajipa laana bure
Back
Top Bottom