Recent content by Mfonii

  1. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Kwaiyo nikienda kuweka kinga zidi ya uovu wa wachawi au wenye husda napo ni shortcut?
  2. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Nipo makini mkuu sio kwamba sijui wahuni wa huku JF
  3. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Una ushaidi wa haya ?
  4. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Wala sio kwamba siungi mkono ila nataka story kidogo nipate somo kwa jamaa maana ishu zake zinafanana za zangu kabisa.
  5. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Kuna ukweli apa mkuu. Naungana na wewe
  6. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Alafu bado wapo wanaosema sio kweli
  7. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Ila yana kaukweli fulani hivi
  8. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Ni kweli mkuu ila kumbuka pia roho mbaya zipo pale unapopiga hatua. Na nia yao zikurudishe nyuma tu.
  9. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Nimekua nikipata maoni ya watu mbalimbali kua ukianza biashara iwe kubwa au ndogo bila kwenda kwa babu ukawekwe sawa basi utakua unasindikiza wenzio. Naombeni maoni yenu wana JF maana tupo na maswali mengi kichwani yasiyo na majibu.
  10. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Je, kila tajiri hapa Bongo anatumia ndumba (kafara, majini, uuaji n.k)?

    Hakuna hata siku moja tajiri atakuambia jinsi amepata mali zake
  11. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Je, kila tajiri hapa Bongo anatumia ndumba (kafara, majini, uuaji n.k)?

    Vijana wanaangamia kwa kukosa maarifa
  12. Mfonii

    JamiiForums Tanzania Ipi dawa nzuri ya kuwaongeza uzito kuku wa nyama?

    Hotelini? Unaposafiri unakula chips kuku ?
Back
Top Bottom