Recent content by Mfipa wa Tabora

  1. M

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    ALIKUFUATA KWA SABABU KULIKUWA NA VIASHIRIA VYA KUMTAKA KUMDHURU MIMI NIMESHA KUTANA NAE MARA NYINGI SANA THERE IS THE WAY OF BEEN CONTACT WITH IT BROTHER WETHER YOU LIKE OR NOT,
  2. M

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    ha ha ha umewinda kwa manati nini
  3. M

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    MIMI NI BWANA SHAMBA NIPO URAMBO, NILIFUNDISHWA NA MSUKUMA MMOJA KUWA TABIA YA NYOKA HUYU NI MPOLE SANA ANAKUWA MKALI TU PALE ANAPOCHOKOZA, PILI MUDA WAKUTOKA SHIMONI NKWAKE NI SAA 4 HAD SA5 NA ANAPOPITAGA NDIPO PALEPALE HANA TABIA YA KU BADILI BADILI NJIA KWA HIYO ILI KUMUEPUKA UNATAKIWA...
  4. M

    Karibu kwa kazi Mpambe mpya wa Rais, Kanali Bernad Mlunga

    Hapana si kweli google youtube uangalie mara baada ya kuapishwa kulikuwa na changes za kila kitu hadi za kiusalama
  5. M

    Karibu kwa kazi Mpambe mpya wa Rais, Kanali Bernad Mlunga

    hakuwepo enz za jk alinza moja kwa moja na Jpm
  6. M

    Watoto wa kishua hamuwezi kuielewa hii picha

    ha ha mimi kazi yangu ilikuwa ni kupitia viatu na kwenda kuuza
Back
Top Bottom