Kuna watumishi wengi wa umma ambao tuhuma zao za kijinai zimesafishwa na mahakama na jamhuri imeridhika pasipo kukata rufaa lakini waajiri hawataki kuwapangia majukumu huku wakilipwa mishahara kila mwezi bila kufanya kazi kinyume kabisa na kauli mbiu ya mh Rais yahapa kazi tu.
Hili jambo inapaswa lilaaniwe kwa nguvu zote.Haiwezekani watu kupigwa eti kisa wamepita karibu na eneo ccm wanapofanyia mkutano alafu mbaya zaidi hayo yanafanyika Mwenyekiti wa ccm taifa ikiwa yupo karibu na eneo hilo.Ninaimani mh mwenyekiti wa ccm taifa atalikemea vikali swala hili vinginevyo...
Sipati picha siku ya sheria hotuba ya Tundu Lissu itakavyowachana watu ukweli nahisi mgeni rasmi atakuwa hajiamini siku hiyo na anaweza kutuma mwakilishi ili akwepe kukutana na ukweli Juu ya utawala wa sheria.
Songa mbele Lissu tunataka kurejesha utawala wa sheria katika inchi hii.Haiwezekani mahakama inawaona mahakimu waliotuhumiwa hawana hatia na Jamhuri inaridhika pasipo kukata rufaa alafu mtu anapata ushauri sijui kutoka kwa mkewe anasema wafutwe kazi.Huku akijua kuwa ni kinyume name katiba ya...
Dr. Mwakyembe ananikumbusha ili misemo ya mitaani kuwa kuwa waziri wa ulinzi sio lazima uwe umepitia mgambo.Sasa kumbe wizara ya katiba na sheria sio lazima iongozwe na Mwanasheria kwakuwa ajayoysfanya Mwakyembe mengi hayana msingi wowote wa kisheria.Mengi anayofanya ni kinyume na katiba na...
Kwanini serikali haikukata rufaa dhidi ya ushindi huo mpaka hata mahakama ya rufaa?Kesi ni ushahidi na sio maneno kama wanavyofioiria na kuwa hakimu hakumfanyi mtu ashindwe kujitetea pale anapokabiliwa na tuhuma.Mbona huyo Waziri wa katiba na sheria yeye alituhumiwa na wabunge kuwa alinunaua...
Inchi hii ninaamini inaongozwa kwa kufuata misingi ya katiba, sheria na kanuni.Tutaacha kuamini hivyo endàpo mabadiliko ya katiba, sheria na kanuni yafanyika.Ibara ya 107A(1) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,1977 ambayo viongozi wote wameapa kuilinda akiwemo Rais Magufuli na Dr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.