Duh! mkuu maisha yangu watu wengi wamechangia kunisaidia mpaka nimefanikiwa kimaisha, na mimi namsaidia mtu yeyote kwa kadri ya uwezo wangu paspo kuangalia jinsia, dini wala kabila.
Kumpotezea nimejaribu ila ni msumbufu sana kwenye simu, mara nyingi huniambia shida kuhusu mtoto wake, huruma huniingia kumsaidia mtoto. Yan kuachana nae ni labda nibadili contacts kabisa
Umeona eh, watu wengine tumesaidiwa sana na tumepitia maisha magumu hivyo mtu akiwa na tatizo moyo unakusuta usipomsaidia, lakini mtu anapotumia hiyo kama advantage is not fair kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.