Recent content by methodinho

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Maisha sio makatili mkuu ila watu ndio wanafanya tuone maisha ni makatiliiiii........
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mapema sana mkuu nimebaki na gamba tuuuu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hizi ajira ni kizungumkutiiii wakuuu kikubwa muombe sana mungu na kupambana haswaaa......kingine maisha sio lazima yawe kwenye vyombo vya ulinziiiii tu maishaaa ni popote na kupambana na kuishiii kwa nidhamu....mpk sasa kitaa nishatoboa 4 years
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Nipo zangu road kwenye mihangaiko nawaona private vijana na mabegi yao na sare zao......nahisi wapo kwenye zoeziiii la ramani maana naona wanaozunguka zunguka tu kutafuta kitu ama vitu.......
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Aiseee daaah
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hv kuna ukwel wowote waliokuwa msata w baadhi kurudishwa kwa kufoji nida kama 400 hv
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Sasa kama PT wa kikosi tu kaona mzigo wa moto akarudi....alafu wanyabi wengine sio PT wala nini na wakatoboa.....yaaani kila kitu kinawezekana....mungu ndio kila kitu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wale wembamba wawili wakabaki na mmoja wapo akawa anaongoza mabio.....daaah mpaka walimaliza
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Unanikumbusha kipindi npo jakata kuna pt mmoja aliendaga komandoo na mwamba mmoja hv anabodi la mazoezi vzr na wengine wawili wembamba.....lkn kilichokuja kutokea baada ya kama week kadhaaa hv wakarudi...yule mwamba mwenye bodi zuri akawa anachechemea, yule pt nae alirudi
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Huyo soldier kweli kudadeki.....na ni kwa sababu anapenda kuwa komando ndio maana
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hahahaha daah kweli sio poa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kwahyo kuna muda mwingine hz mambo jinsi zinavyoendeshwaaa....kwa upande mwingine inahitajika umakini figisu huwa hazikosi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kuna mwamba mmoja hvo hvo aliingia kihangaiko akaonekana unfit alivyorud mzee wake akaenda lugalo pale kumpima akaonekana yupo vzr tu kiafya na utimamu wa mwili..mzee wake akamaind akawapgia smu na kuuliza kwann karudishwa kijana wake na wakt yupo vzr hana tatzo lolote, wakajitetea kusema...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Lkn sio kitaaa unaboda boda yako baada ya kupata nafasi kuingia kihangaiko...unauza alafu mwisho wa siku ndio unakuja kuonekana unfit....urudi om uanze upya yaaan sio poa aseee.....umakini unahitajika
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Inaumiza sana.....hususani ndio umetokea jakata....lkn kwa wale waliokuwa kitaaa umakini unahitaji kama kuna mambo yako kitaa yalikuwa yamekaa sawa usiwakache maana huwezi jua , kama utatoboa fresh ila kama ngoma ngumu unarudi zako kitaa unaendelea na misje zako ulizoacha
Back
Top Bottom