Nishapitia kitambo utakalia kusrma serikal za danui chuon watu huenda kusoma na si kuanzisha ibada.waende wakasoma arusha university kilichowapeleka mwenge ni kip?namtafukuzwa kila sehem jins mnavyohangaika hapa dunian na mbinguni mtahangaila hivyo hvyo kuingia wanafki wakubwa nyie
Kuibia mtihan nikosa la jinai na adhabu yake ni kufukuzwa chuo na kufungiwa masomo miaka 5. Achen siasa kile chuo kizur sana kinatenda ipasavyo hata kama ungekuwa ifm au udsm hata chuo chochote wangefukuzwa tu ndo sheria nyie mnataka ubabaishaji. Afu suala la ada nan alokwambia chuon kuna bagain...
Naomba msipoteze mda wala kubishana na watu wasiojitambua.wasiokuwa na elimu kiufupi wenyemawazo mgando wataendelea kubisha na kutoa kashfa ila ukweli utabaki pale pale. Afu nashindwa kuwaelewa hawa madhehebu mengne badala yakufundishwa mambo yanayo wahusu kani sani kwao kutwa wanafundishwa na...
Nicheke mie. kwel mungu huko aliko anajionea mengi.hivi nyie wasabato mungu wenu ni yupi mnao muomba hadi kwenye makambi lakin hamjapata mabadiliko.oolen sana. Napits mie
Acha unafiki. Kufukuzwa halali yao wakae kushoto huko. Afu mnatumia kigezo cha bible wanafk wakubwa nyie. Mambo ya elimu hamkuyazoea mnaigaiga tu kalimrn mihogo huko
Vizur wap huo mtihan wakatungiwe usabaton elimu haina kulemba mda ushawapita pple wapo busy hao 11 niwachache sana hatawakifukuzwa hawatii hasara kama wanapendashule na wanajua umuhimu wa elumu wangefuata taratibu. Wamebug ndo maana wanastres za maisha cz hawajui kip wanatakiwa kufanya kwa mda...
Acha wafukuzwe tu.wanasumbua sana hawa kila kitu chao kikotofauti na taratibu iwe vyuon hata maakazin nitabu tupu. Wanachuo chao Arusha university kinasheria zakipumbavu na kinaubaguz wa hali ya juu kaz kutukana madhehrbu ya watu nakuamin usabato ndo waukwel si wakasome huko. Wanajua kabsa chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.