Recent content by mercy heart

  1. M

    Natafuta kazi Mpanda

    Habari zenu wanaJF! Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu mwaka wa kwanza, nipo likizo kwa muda wa miez 4. Natafuta ajira yoyote ya kujishikiza na nipo Mpanda Ahsanteni!
  2. M

    Kwa wale waliofanya appeals za mikopo Mzumbe university

    eti jamani ni kweli kwamba majibu ya appeals ya mikopo yametoka kwa baadh ya watu.?na kama yametoka unaangalizia wap jina lako..!
  3. M

    Jaman kwa wale wa Mzumbe majibu ya appeals

    eti ni kweli kwamba kuna baadhi ya watu majibu yao ya appeals za mikopo yashatoka.?na kama ni kweli unaangalizia wapi.,plz naomba mnijulishe.
  4. M

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    plz s0341/0156/2011 naomb niwekee humhum,
  5. M

    Majina HESLB yaongezwa

    plz nianglizien s0341/0156/2011
  6. M

    Majina HESLB yaongezwa

    plz niangalizien s0341/0170/2011
  7. M

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    naomba msaada haraka tafadhali s0341/0156/2011.,
  8. M

    Majina HESLB yaongezwa

    mbona cjakuelewa mkuu..
  9. M

    Majina HESLB yaongezwa

    jaman naomba mniangalizie s0341/0156/2011
  10. M

    Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

    jamani kwapa zangu zinatoa jasho mpaka nakosa uhuru wa kuvaa nguo., navaa nguo nyeusi tu.,naombeni msaada nitumie deodorant gani au dawa gani.,msaada tafadhali.
  11. M

    Zaidi ya asilimia 80 wamekosa mkopo Mzumbe University

    jaman hamna kitu kizuri kama lugha nzuri.,wote wangejaza priority hizo non priority nan angesoma..?jaribu kumpa moyo mtu na sio kumkejeli.asante.
  12. M

    Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

    Jamani naombeni msaada kwan hili tatizo la kutoka jasho kwapani linaninyima raha na ata uhuru wa kuvaa nguo. Je nitumie dawa au deodrant gani..?msaada plz.
  13. M

    Mzumbe University Selection 2014

    jaman naomba kuuliza je nikidownload hiyo attachment je naweza kupata hzo form zote..?nasubir jibu waungwana.
Back
Top Bottom