Habari zenu wanaJF!
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu mwaka wa kwanza, nipo likizo kwa muda wa miez 4.
Natafuta ajira yoyote ya kujishikiza na nipo Mpanda
Ahsanteni!
jamani kwapa zangu zinatoa jasho mpaka nakosa uhuru wa kuvaa nguo., navaa nguo nyeusi tu.,naombeni msaada nitumie deodorant gani au dawa gani.,msaada tafadhali.
Jamani naombeni msaada kwan hili tatizo la kutoka jasho kwapani linaninyima raha na ata uhuru wa kuvaa nguo.
Je nitumie dawa au deodrant gani..?msaada plz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.