[emoji23][emoji23][emoji23] very true bob don't trust such kind of pia hawanaga humanity to the society kabisa... Anakunyima hata maji ya kunywa na uko na Hali mbayaa balaaa
Makosa binafsi.. Islam kma dini iko mbele sana katika Haki... Nimewahi kuumizwa na muislam mwenzangu... Ilaa niliangalia nikagundua.. kosa si ISLAM KAMA DINI.. Ila makosa ya mtu binafsi. Nilisamehe
Bora mvuta fegi kuna unawapa tip kwa jinsi MUNGU amekugusa Ila yeye anaidharau mpaka unaona nimempa ya Nini huyu boya asiyejua thamani ya "UTU'' au thamani " PESA"
Mrudishie hiyo pesa, mpe onyo kutokana na kosa lake, next time mkumbushe kosa mpige fine, madereva wengi hususani wa biashara wanapita Zilezile karibu mwaka mzima mnawafahamu. Lakini sio kumuona kma mhalifu. Dereva unamuona trafiki unaogopa kma umeshajua hukumu Yako.[emoji24][emoji24]. Wengi...
Dar kuna tabu moja.. kuna vitu vilipaswa patikana hapa kwa wepesi sana.. Ila sasa sijui tabu Nini ... Kma huna pesa ya gharama ... Utaishia mikononi mwa local +++ hutaamini
. Kila kitu hapa kimcwekwa kma ufahari na si huduma[emoji3][emoji3] dalili za ;- ushamba..ulimbukeni... Ufahari... Hata...
Magari mengi hawana tabia ya kuangalia namna Bora ya kuburudisha ... Ila wao huangalia Nini wao( staff) wanataka.. wakati wao sio wateja... Na wateja tunawekwa kundi la wasio na sauti.. wakati ndio Mimi source ya company income toward their salary etc... MUNGU akinipa mtaji hili soko litapata...
Ok.
1.mwl. Nyerere
2.Gaddaf
3.magufuli
4.kikwete
1.bob Marley
2.joseph hill (culture)
3.luck dube
3. Mbowe
1.pro jay
2.sugu
3.2pac A Shakur
4.koffi Olomide
1.baba yangu & his wife
2. Mke wangu
3.watoto wangu
4.MIMI
Oyaa man watu muhimu ni wengi mpaka roho inauma man
Ndgu dar kuna tatizo sana... Hawa watu hawana nguvu hasa ya mwili.. battle performance pia dhaifu... Ila visasi .. maneno mengi na. Ukiwazidi kukimbilia police ili uwalipe.. ndio zao.
Mimi hapa... Ila nilicheka style Yao... Mimi jua lilikuwa limenichoma mpaka naona kma nazimia... Ghfla naona napewa juice ya muwa katikati ya watu... Nikaikata pap... Maana kma jamaa alikuwa anajua nime exhaust haswa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuhusu Hali za makazi na mazingira yetu kwa usalama wetu bila kusubiri Hawa strangers ni vema kuzingatia usafi wa mazingira na fumigation za mara kwa mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.