Mimi Nahitaji kufahamu tu kwa wale wenye shahada na kuendelea jinsi ya kutuma maombi Inakuaje? Je hio kiambatanisho B ambayo ni excel sheet tunatuma kama ilivyo au tunascan pamoja na barua ya maombi na viambatanisho vingine
Pili,hawa wa shahada na wao inawapasa waende kwa wakuu wa polisi...
Kudesa kupo Kwenye kila Jambo wakati ukijiandaa lazima uwe na shahuku kua kuna moja na mbili ya uwelekeo wa maswali,sasa utajiandaa Vipi hata hujui unatakiwa upitie wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.