Recent content by MENGO KINGSLEY

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni connection za uvuvi maeneo ya Dar

    Nashukulu kwa ushauri kiongozi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni connection za uvuvi maeneo ya Dar

    Habari Wana jf, Mimi ni kijana wa miaka 24 mkazi wa dar mtaa wa external manispa ya UBUNGO naitaji kazi ya uvuvi mana ndio ninayo ipenda pia iki patikana piki piki ya mkataba au daywaka nitashukulu, elimu yangu ni chuo kikuu. Phone number 0785598033
  3. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva bodaboda au uvuvi

    Nisaidie
  4. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva bodaboda au uvuvi

    Mwisho wa kuapply lini mkuu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva bodaboda au uvuvi

    Link zipo wapi kaka
  6. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva bodaboda au uvuvi

    Sawa mkuu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva bodaboda au uvuvi

    Habari WanaJF, Natafuta kazi ya udereva boda boda ,uvuvi na yeyote ile kikubwa inipatie kipato cha kujikimu, umri wangu ni 24 naishi hapa Dar pia Nina ELIMU ya chuo kikuu upande wa education in kiswahili and history ila bado nimehairisha mwaka kwa ajiri ya KUJITAFUTIA, mawasiliano 0785598033
  8. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote ile nina elimu ya education ila nimeahirisha mwaka

    Habari viongozi, Mimi ni kijana wa miaka 24 mkazi wa Dar, Nina ELIMU ya chuo kikuu na nimehairisha MWAKA kutokana na changamoto mbalimbali ila nahitaji kufanya KAZI itakayo nipa kipato ili niweze kukusanya pesa za Kuni somesha ,KAZI YOYOTE ila kikubwa iwe halali, namba 0785598033
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kupata kazi ya uvuvi

    Apana si najifunza ukouko ila huwa nina idea ya uvuaji
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kupata kazi ya uvuvi

    Uko sina wenyeji mkuu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kupata kazi ya uvuvi

    Piki piki nikikosa mana Nina akiba ya 250k ,ila kwenye kampuni ya WATU CREDIT wanataka kianzio 400k apo bola nijitafute alafu ndio NIENDE kuchukua
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kupata kazi ya uvuvi

    Du,kak unanitisha sasa mbona wadau humuhuwa wanasema KAZI hii inalipa sana
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kupata kazi ya uvuvi

    Mkuu uvuvi si unalipa sana
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kupata kazi ya uvuvi

    Kak naitaji ya kwenda kuvua yani hata ya kufanya miezi kama 4
  15. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kupata kazi ya uvuvi

    Nashukuru kwa ushauri
Back
Top Bottom