Duh!!! Kweli jamaa anastahili kua na wake wengi, mjadala una wanawake watano mwanaume mwenyewe na amewatuliza wote Kwa majibu yake, wengine kubishana na mwanamke mmoja tu ni Kazi😄😄😅
Kumbe alikua mchumi, binafsi sioni kama elimu yake kwenye uchumi na nafasi nyeti aliyokua nayo imekua na mchango mkubwa Kwa taifa,
Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpe, alifanya makubwa Kwa taifa ila kwenye uchumi taasisi yake imefeli pakubwa sana
Kokoto!! Kokoto!! Nauliza mara kumi.... Ni hizi hizi kokoto wanazopasua akina mama Kwa mkono? Nadhani wametumia lugha ya Siri kusema kokoto may be ni watakua wanatengeneza mabomu kumficha adui wakasema kokoto😅
Taifa linaangamia, hakuna wa kuonya Wala kusema, Leo hii Kila duka la Mangi mtaani Kuna mashine za kichina za KAMARI vijana kutwa wanashinda wakicheza KAMARI.
Ndugu zangu Watanzania, Kila mmoja wetu atumie muda kujiuliza hili swali, Kwan Watanzania tumemkosea nn Mungu? Au tuna laana? Mbona hakuna tunachokiweza?
Tunashindwa kuendesha hata mradi mmoja tu wa SGR mapema hivi? Tumeshaanza blah blah Mara sijui engine za diesel.
Iko wapi nafasi ya usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.