Maana yangu ni kuipa heshima vazi la majeshi mengine sijamaanisha kuwa vazi la majeshi yetu ya wizara ya mambo ya ndani ni mabaya hapana, na sijaamaanisha wavae sare za jwtz maoni yangu ni kuwa wangetengenezewa combat zao tofauti na za jeshi la wanainchi
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni...
Kiukweli kifo ni jambo linaloweza kudhibitiwa kbsa kwasbb hata kwenye vitabu vya dini kuna maandiko ya uzima wa milele. Hivyo tusitegemee huo uzima wa milele utaletwa na na kushushwa na Mungu kama mvua ila kitakachofanyika ni kumtumia binadamu kuuleta huo uzima wa milele kwasbb God ni nishat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.