Kwenye Vita huwezi kumwambia adui atoe raia na pia anakujulisha kuwa naenda kupiga sehemu Fulani
Kama unatoa taarifa jua kuwa hiyo Ni operation
Ila Vita Ni kupiga adui bila kuchagua nipige wapi na akina nani
Mpaka Sasa USA na NATO na wafuasi wao wameshindwa vibaya na Russia.
Nasema hivo kwasababu silaha kubwa ambao USA, NATO walitegemea vikwazo kwa Russia Ila mpaka Sasa USA, NATO na dunia kwa ujumla wanalia kwa hivyo vikwazo.
Sasa huoni Kama hiyo silaha wanajipiga wao wenyewe?
Mpaka Sasa Ukraine...
Russia amejidai Ni super power kumbe hakuna kitu
Mpaka Sasa Ukraine imemshinda naona Sasa nato wamemuona Kama karagosi Sasa wameamua kuingia Vita keep msaidia Ukraine na baadaye kumfuata Russia kwake ndyo mwisho wa Russia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.