SI kwamba kaumbwa asiwe na mwenza ila ni kweli kunafamilia za aina hizo, kuna wanaoitwa mlango wanane! ukimuoa tu basi unafilisika kila ulichonacho. cha muhimu ni kuendelea kuchunguza huo ukoo na kumdadisi mwenyewe pia, isije ikawa anakaushirikina pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.