Inakuwaje kituo cha habari cha nje kitoe taariofa kuhusu Tanzania kabla ya vyombo vya habari vya ndani (TBC, STAR TV, ITV etc) wao wako bussy na kupiga taarabu tu! Kweli watanzania yule aliyeturoga kesha kufa!
Niko najiuliza, labda ITV wangewaelekeza hao wahanga wajitambulishe kwa kuweka surname za majina mazito serikalini au chama tawala. Wangeropoka majina yoyote ya vigogo kama surname zao. Hapo harakati za kuwaokoa labda zingeanza, ni mawazo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.