Mi nadhani hiyo hela inayotumika kupeleka vijana jkt ni bora wawekeze kwenye elimu ili vijana wa elimu ya juu waweze kuendelea na masomo yao kuliko wengine wanapata mkopo wengine hawapati hii inakatisha ndoto za watu hatakama umeenda jkt usipopata mkopo wakukuendeza elimu yako hiyo jkt ulioenda...
TCU inakatisha ndoto za vijana sana msela wangu amefanya first application imemtema kaja kafanya second course zilizobaki za arts yeye amesoma pcm matumaini take ilikua aje kusoma engineering
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.