Natumain uzima upo humu ndani,
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Ukiwa mfuatiliaji wa mpira wa miguu logo ya As Roma inaonesha Bweha akiwa na watoto wawili wanaonyonya. Hawa ni mapacha (Romulus na Remus) kabla kuzaliwa kwao walikuwepo watoto wawil wa kiume wa mfalme katika jiji hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.