Recent content by Mdudu Mende

  1. Mdudu Mende

    JamiiForums Tanzania SoC03 Tutumie digitali ili kukuza idadi ya watu kushiriki Uchaguzi Mkuu

    Kutokana na Sensa ya mwaka 2022, Zaidi ya watanzania milioni 40 wana umri wa kushiriki kuchagua kiongozi, yaani kupiga kura. Kutokana na namna chaguzi zinavyoendesha miaka yote tumekuwa na idadi ndogo ya wanaojiandikisha kupiga kura, na katika wanaojiandikisha kupiga kura ni wachache kati yao...
  2. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wabongo wanadhani kutafuta mpenzi mtandaoni ni umalaya?

    Mpenzi huweza kupatikana mahali popote iwe klabu, kwenye ngoma, shule, kanisani nk. Ni suala la kupatana tu. Kuna watu wanakesha makanisani na hawapati watu wa kuwa nao na kuna watu wamepatana barabarani na wamedumu. Ukuaji wa teknolojia umefanya zoezi la kutafuta wapenzi kuwa rahisi kwa kuwa...
  3. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Hili ni neno la 'wanaharakati' ambalo linatumia randomness kuprove ila kwa tafiti hakuna significance
  4. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Honestly! Naoa 'Mwanamke mwenye elimu'. Ingekuwa mtu anao mwanamke tu, basi wale wadada watembeza vitu wangeolewa kirahisi kwa kuwa hawana gharama.
  5. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Moja kati ya kosa kubwa ni kusema 'Wanaume hivi' au 'Wanawake hivi'. Tumia neno 'Watu' ambao hatufanani. Mimi nataka 'elimu' haimaanishi kuwa na represent wanaume wote, wapo wanaopagawa na 'tako'. kwa hiyo jua kuwa una mtu ambaye anahitaji hasaa vigezo ulivyonavyo, ukienda kwa mtu tofauti ndio...
  6. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Jibu lingine, hakuna sehemu mtu amejisifu bali umejistukia. Wanasaikolojia wanaita inferiority complex. Eti umetoa huduma gani? Aah, kila mtu anaishi vile anaweza i.e., mimi sio mtu wa kusapoti philanthropy, kila mtu abebe mzigo wake. Nikiwa na shida silii kwa mtu ukiwa na shida usije kulia...
  7. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Kuna kitu kimoja unashindwa kukijua kwamba you have your rules, I have my rules. Post haijasema 'USIOE...' Bali, "Sita..' yaani nimejitaja mwenyewe. Kwa kuheshimu uhuru wa maamuzi huwa nakubali mwanamke akinikataa kwa kusema sina fedha, sina gari au chochote ambacho yeye ni kigezo chake cha...
  8. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Kwa takwimu watu ambao hawajasoma na wamefanikiwa ni wachache kuliko waliosoma na kufanikiwa. Lakini kwa kuwa mnawasikiliza motivational speakers huwa mnaacha shule na kufuata wanayosema na kuzidisha ugumu. Kaa tulia andika listi ya waliofanikiwa bila shule na waliofanikiwa kwa shule utajua...
  9. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Ewaa, tena ana MA ya socialogy, huyo ni mtu hasaa wa kuwa naye... na hadi anatafuta kusoma zaidi, huyo ndiye haswaa size yangu. Njoo tuyajenge, siwezi kuwa na mwanamke ambaye hafikiri miaka 100 ijayo. hawa wasomi ndio nawataka
  10. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Maelezo ni mengi sana, ila nikuambie hivi. Ufahamu wa mtu unatokana na exposure, moja kati ya kitu kinamuexpose mtu kwa ukubwa ni elimu. Mtu asiye na uwanda mpana wa elimu anakuwa na fikra finyu relative to mtu mwenye uwanda mpana wa elimu. Japokuwa kuna mtu anaweza asiwe ameenda shule akawa na...
  11. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Hapa hauna hoja zaidi ya kudhihirisha uzamani badala ya ufahamu. Mazingira waliyoishi wazazi ni tofauti na maisha ya sasa. Kuanzia shughuli za kiuchumi, values nk. Unachosema hapo ni kuwa hautakiwi kuwaza gari kwa kuwa mzee wako aliishi kwa furaha akitembea kwa miguu. Jamaa yangu mmoja anasema...
  12. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Akili unayozaliwa nayo ni ile ya survival, kutokana na complexities zilizopo elimu ni muhimu. i.e unazaliwa unajua kucheka, kulia, kula, kunya nk, lakini haitoshi kuweza kufanya analysis kubwa za kukusaidia kufanya maamuzi. Nitakupa mfano, jamii ambazo zimebaki na elimu ya kuzaliwa i.e. kijiji...
  13. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Ni namna sahihi ya kufikiri, hata hivyo kuwa na uhakika wa kutimiza physiological needs ni jambo muhimu. Unaweza kufanana na mimi kwa kuona ndoa za mkataba zinaweza kuwa best option kwa ulimwengu wa sasa
  14. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Kutofautisha elimu na maisha, ni jambo linalopatikana kwa wasio na elimu. Ukweli ni kuwa mapenzi ni zaidi ya sex, sasa ukisema usiangalie elimu ni kujichimbia kaburi
  15. Mdudu Mende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Nitakuwa na grounds nyingi za kuelewana na Prof. kuliko form four
Back
Top Bottom