Recent content by mdomo

  1. M

    Wazee wa Nyasa wamuonya Banda

    Wanajeshi wetu wengi wa siku hizi nao wanapenda kukaa maofisini.. jk nae ni mzee wa tabasam. tukizubaa tutanyang'anywa sehem yetu ya ziwa tunaona hvhv na hilo likifanikiwa litakua limedhihirisha udhaifu wetu kwa hiyo kutakua na possibility ya wengine kuja kumega eneo jingine tena na mwishowe...
  2. M

    CHADEMA wamfungulia kesi Nape

    huyu nape anapenda sana umaarufu, ila njia anazotumia zinamgarim.
  3. M

    Kamati Kuu CHADEMA yawavua Uanachama Madiwani 2 Jiji la Mwanza

    hii ya kua tunaleanaleana na kufumbiana macho ndiyo imetufikisha hapa, wenzetu km rwanda wanazidi kusonga mbele. nidham katika kila jambo ni kitu cha msingi sana. ni vigumu sana kusema tuko pamoja ktk kila jambo wakai mwenzako an yake. huu ni uamuzi sahihi kabisa ili kwamba hata mwingine afanye...
Back
Top Bottom