Nmefauli vzuri..nmefuata masharti yoote ya kupata mkopo..nmechagua course ambayo ni priority.. Nmechagua chuo cha kumbu kumbu ya mwalimu nyerere,chuo hiki huwa kinaangaliwa kwa macho yoote wengi wanao soma hapo huwa wanabatka kupata mkopo. Sasa mwaka huu sijui imekuaje yaani plan A B C zote...
Wakuu nmemaliza form six 2012 mwaka huu nmeomba chuo na nmepata chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere...Pia niliomba Education lengo likiwa ni upate mkopo lakn nmetoka kapa round zote.. Je ndo imetoka au kuna awamu nyngne tena
Ina maana mkopo wametoa kwa wanafunzi walio maliza form six mwaka jana tuu au ndo nn..Mm nme maliza form six 2012 na nmechagua course ambayo ni priority na bado sijapata kitu kweli Heslb wana watu wao
Za muda huu wanajamvi ni lini chuo cha mwalimu nyerere memorial academy kita toa majina post undergraduate 2015/16.Kwani vyuo vng vmesha toa majina lakini wao bado. Wanawapa wadogo zetu wakati mgumu sana p
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.