Recent content by mdegree

  1. M

    room udsm

    poa dogo nimekuPM # yangu.
  2. M

    room udsm

    ukishafika chuo utajua tuu
  3. M

    room udsm

    Hiyo si ni enzi hizo mkuu! wanafunzi wenyewe hamkuwa wengi kama sasa,sahivi huko hall six ni kama hall 2 au 5 tuu,hall 6 ya sahivi vitanda 3,na mkibebana ni watu sita kwa room,na hauwezi kulala pekee yako afu kuna mwenzio anahangaika sehemu ya kuweka ubavu labda uwe na moyo mgumu sana.
  4. M

    room udsm

    daah! hongera mkuu maana ni isue.mimi ningepata hata cha kununua tuu basi roho ingetulia nikafanya mambo mengine.
  5. M

    Natafuta kubebwa UDSM

    mkuu nimeshakuPM nifanyie mchakato basi nipate uhakika sehem ya kuuweka ubavu wangu,hata kwa kununua mimi niko tayari. shukurani.
  6. M

    Natafuta kubebwa UDSM

    wee jamaa haunazo sio siri,kwani ulaya ndo nini mpaka wasibebane? mpka ulaya wanabebana kama udsm tuu
  7. M

    room udsm

    wadau mimi ndo naingia 2 year, nahitaji mtu wa kunibeba au kama ---- mdau anafaham jinsi gani ntapata room hata ya kununua mimi nko tayari kwa hilo. kwa yoyote mwenye mssaada ani PM. Natanguliza shukurani.
Back
Top Bottom