Nashukuru sana mkuu Tang'ana.... Unaweza kunisaidia pia kuwa wanapokua wanaita watu kwenye training kama hivi mnaweza kuitwa wangapi kwa ajili ya training??
Habari za asubuhi ndugu wanajamvi?
Nimepata offer yauitwa kwenye Academy ya hawa jamaa wa M Power(Arusha). Naomba mwenye dondoo za kuanzia za hawa jamaa anijuze. Mathalani, muda halisi wa training zao, rate za kuajiri kwa wanaomaliza vyeama kwenye hiyo academy, na Mengineyo kama yapo.
Nawasilisha
Habarini za Mida hii ndugu wanajamvi?
Mimi ni mgeni katika jukwaa hili... Samahani sana ndugu zangu kwa kupost mada hii wakati huu, bila shaka wengi wetu watakuwa waejipumzisha tayari.
Ninaomba kusaidiwa na wanaoifahamu vyema hii NGO ya VSO, ya kwamba wanalipa mshahara kiasi gani kwa ngazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.