Recent content by Mdau1000

  1. M

    Madiwani Tunduru wapinga mpango wa Rais Samia kubana matumizi hasa kipindi hiki cha uhaba wa mafuta

    Baraza jipya la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru lipo Mkoani Katavi kwa siku tano kujifunza kuhusu hewa ukaa. Madiwani wote zaidi ya 60 na wakuu wa idara watakuwa nje ya halmashauri kwa zaidi ya wiki moja kwaajili ya safari hiyo. Tsh Milioni 1.8 italipwa kwa kila diwani katika...
  2. M

    Mkuu wa Shule ya Msingi Nakayaya asimamishwa kuwa Mkuu wa shule hiyo bila sababu yoyote ya Msingi.Inaelezwa kuwa migogoro binafsi

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Amesimamia baada ya kusikia kilio cha wadau na mkuu wa shule amerejeshwa katika nafasi yake Kwasababu ni ubuni tu ulitumika
  3. M

    Mkuu wa Shule ya Msingi Nakayaya asimamishwa kuwa Mkuu wa shule hiyo bila sababu yoyote ya Msingi.Inaelezwa kuwa migogoro binafsi

    HABARI MPYA NI KWAMBA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU AMESHUGHULIKIA NA MKUU WA SHULE ANAENDELEA NA MAJUKUMU YAKE YA KAWAIDA
  4. M

    Mkuu wa Shule ya Msingi Nakayaya asimamishwa kuwa Mkuu wa shule hiyo bila sababu yoyote ya Msingi.Inaelezwa kuwa migogoro binafsi

    Edited mkuu Ipo Tunduru mkoa wa Ruvuma Sakata ni kwamba viongozi wa eneo hilo wamekuwa na kasumba ya kutoa kiholela wakuu wa shule pindi wanapo ona masirahi yao binafsi yanaingiliwa, Kuna mradi wa upanuzi wa shule unatarajiwa kuanza kwaiyo wao wanasafisha njia mapema, lakini pia hiyo kadhia...
  5. M

    Mkuu wa Shule ya Msingi Nakayaya asimamishwa kuwa Mkuu wa shule hiyo bila sababu yoyote ya Msingi.Inaelezwa kuwa migogoro binafsi

    Hapana Bali kuna posho inaongezeka 😂😂😂 Tatizo sio mshahara bali kasumba ambazo viongozi wa eneo hilo wanayo kwa muda mfupi wanabadilisha wakuu washule Inaonekana wanatafuta yule ambaye atasapoti upigaji wao
  6. M

    Mkuu wa Shule ya Msingi Nakayaya asimamishwa kuwa Mkuu wa shule hiyo bila sababu yoyote ya Msingi.Inaelezwa kuwa migogoro binafsi

    Tatizo sio cheo bali viashiria vya ubadhirifu kwasababu kuna mradi mkubwa unatarajiwa kuanza karibuni
  7. M

    Mkuu wa Shule ya Msingi Nakayaya asimamishwa kuwa Mkuu wa shule hiyo bila sababu yoyote ya Msingi.Inaelezwa kuwa migogoro binafsi

    Mkuu wa Shule ya Msingi Nakayaya iliyopo TUNDURU MKOA WA RUVUMA asimamishwa kuwa Mkuu wa shule hiyo bila sababu yoyote ya Msingi. Inaelezwa kuwa migogoro binafsi baina yake na Mwenyekiti wa kijiji ( Bakari Mpwapwa) na Mratibu Elimu Kata ndio kiini cha Maamuzi hayo. Hatua hiyo Inaelezwa kuwa ya...
  8. M

    Ijue historia ya Simba Achikongo kutokea Tunduru

    Tracking ya safari zake ili kua ni jambo gumu japo kuna meneo ambayo alipendelea hasa kufanyia mawindo yake
  9. M

    Ijue historia ya Simba Achikongo kutokea Tunduru

    Tunduru ni moja ya wilaya ambayo inapatikana katika mkoa wa Ruvuma kusini mwa Tanzania, asili ya wakazi wa Tunduru ni Wayao ambao wanasadikika wanatokea Msumbuji, katikati ya miaka ya 80 kulikuwa na mzee mmoja ambaye alikuwa anafahamika Mzee ACHIMBALI, Mzee huyo alikua anaishi katika kijiji cha...
Back
Top Bottom