Hivi gas ya Mtwara inaenda wapi vile?
Umeme wa Stiglers ni mwingi sanaaa!
TUSIOGOPE! Tukiona Kenya wanatuzingua tutawazingua. Tuanze tuone hayo msemayo kwani sio Biblia au Quran!
Uongozi wa Serikali ya Awamu ya sita ya mwanamke shupavu Samia Suluhu Hassan umejikita katika kuifanya falsafa ya Mwl. Nyerere ihusuyo maendeleo kukamilika.
Falsafa hiyo inazungumzia MAENDELEO / UCHUMI n.k ambapo lazima utengeneze muunganiko imara wa mambo yafuatayo ambayo ndiyo Samia Suluhu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.