Recent content by Md 5.

  1. M

    Ajira Mpya Za Walimu 2013

    Suala linaloiathir mambo ya ajira ni issue ya pesa kutoka hazna kuu, xasa mie najiuliza kuwa nn maana ya bajet, mbona wizara zingine inaposomwa bajet na kupitishwa matumiz yanaanza mara moja. Au fungu la ajira limekopeshwa..!
  2. M

    Tutarajie nini matokeo kidato cha nne 2013?

    Hapo tutadanganyana tu ndugu zangu, suala la msing n kusubir idala husika walopoke..!
  3. M

    Tutarajie nini matokeo kidato cha nne 2013?

    Hapo tutadanganyana bure tu, suala la msing n kuwasubir watu wa idala husika walopoke kwan wao ndio wanaojua ukwel ulivyo, na c suala la kubashiri.
  4. M

    Wizara ya elimu yamekuwa..........!!!

    Mi nadhan serikal ifike mahara sasa ianze kufanya ukakuzi ktk kila wizara, yaan iwepo tume itakayokuwa inafanya uchunguz na kubaini mazaifu yaliyoko ktk kila wizara hapa nchini, suala sio wizara ya elimu ni watu fulan fulan tu ambao wanataka kujinufaisha wao na kusahau kuwa kuna umma ambayo...
Back
Top Bottom