Recent content by mcpetit

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa Wana JF na wataalam wa Magonjwa ya akili: Kwa anayoyafanya Yericko Nyerere mtandaoni mnadhani bado ana akili timamu?

    anayoyaandika Yericko kuibagaza CHADEMA ndivyo alivyokuwa akifanya akiwa CHADEMA kubagaza vyama vingine na viongozi wao na mkamshangilia.. Yericko ni yule yule amehama nyumba tu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    pole sana maswali yako ni mazuri na majibu yake narudi soon na majibu ya maswali yako na utaelewa vizuri
  3. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Odero avuliwa uanachama CHADEMA. Alikuwa akipigia chapuo maridhiano!

    demokrasia ni kuheshimu hoja ya kila mtu/mwanachama na sio kumchukulia hatua pale anapoonesha kupinga hoja yako…
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kuridhiana na wauaji, watekaji, na walawiti. Ulijitia kiburi leo unataka maridhiano ya nini?

    unasema hutaki maridhiano huku hatua za maridhiano zimekwisha anza tayari
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    pole mwandishi ndo anachokitaka hicho watu wajae hofu na kuikataa serikali ya nchi yao
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    wahuni hawa yaani unasema kuna maadui tokanchi jirani wanapanga kuingizia vikosi kukinukisha hyo tar 9 haafu hapo unatoa ushauri ili hayo yasitokee inabidi kusiwe na maridhiano ambayo wanataka kuyafanya,inatakiwa Rais ajiuzulu mara inatakiwa na uchaguzi urudiwe hapo ndo itakuwa na utulivu hap...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Bila kuzungumzia Kupigwa Risasi kwa Lissu, Polepole hutaeleweka!

    kwa hiyo wana mtandao walimpiga Lissu risasi halafu wakamwambia JPM asimtibie?? wala kumtembelea wala kumpatia stahiki zake zote kama Mbunge???
Back
Top Bottom