Recent content by Mchunguzi Fukara

  1. Mchunguzi Fukara

    Shukurani kwa hili jukwaa limenifanya leo hii naanza kuheshimika kwa watu wangu wa karibu

    😅😅 Mashaka yapi ndugu yangu hebu eleza kwa upana
  2. Mchunguzi Fukara

    Shukurani kwa hili jukwaa limenifanya leo hii naanza kuheshimika kwa watu wangu wa karibu

    Unataka niweke kingereza kingi😅😅😅 ila watu kumbe kuna muandiko wakiulaya ulaya
  3. Mchunguzi Fukara

    Shukurani kwa hili jukwaa limenifanya leo hii naanza kuheshimika kwa watu wangu wa karibu

    Upo sahihi kaka kwa Sasa hivi Tanzania imefunguka kuanzia mwaka Jana vijana wengi wa Kitanzania wanasafiri kwenda nje tushaanza kupata maagent wa Kitanzania wa uhakika zamani maagent wa uhakika ilikuwa mpaka uende Kenya ama Uganda
  4. Mchunguzi Fukara

    Shukurani kwa hili jukwaa limenifanya leo hii naanza kuheshimika kwa watu wangu wa karibu

    Bibie jitahidi utafute furusa za hapo nyumbani kwanza Ili upate pesa ya passport mambo mengine yatafuata
  5. Mchunguzi Fukara

    Shukurani kwa hili jukwaa limenifanya leo hii naanza kuheshimika kwa watu wangu wa karibu

    Umeiandika comment yako kwa makasiriko ndugu yangu.... Mm Uzi wangu nimeandika kama kutoa shukurani kwenu members bila hili jukwaa binafsi nisingekuwa hapa nilipo.... Ndio maana nikasisitiza kuwa hili jukwaa tulichukulie kwa mabadiliko chanya kama nilivyolichukulia na Leo nipo hapa ndio maana ya...
  6. Mchunguzi Fukara

    Shukurani kwa hili jukwaa limenifanya leo hii naanza kuheshimika kwa watu wangu wa karibu

    Hizi Treasury bond, share za makampuni na mutual funds Bado Sina elimu ya kutosha jinsi ya kuwekeza naweza nikakufata private ukanipa mwongozo kidogo
  7. Mchunguzi Fukara

    Nafazi za kazi kampuni ya Gardaworld

    Kama hawazingatii watakuwa wamefanya reform nzuri sana.... Kwa mm hapana nilipaga mchongo nje nchi mkuu ndio naupambania
Back
Top Bottom